Thursday, June 20, 2013

Jinsi ya kuondoa Window Moja kwenye Pc yenye Windows Mbili

umeinstall window na ukashindwa kuiondoa ile ya zamani na kila ukiwasaha kompyuta inatokea hivi AU HIVI twende pamoja ili ujue njia rahisi ya kuiondoa window moja ambayo huiitaji JINSI YA KUIONDOA HIYO AMBAYO HUIITAJI 1. Bofya kitufe cha windows pamoja na R (Win+R) au fungua start menu kisha bofya "Run" 2. itafunguka dialog box ya run, andika neno "msconfig" bila "" kisha bofya ok 3. itafunguka dialog box "system configuration utility" kama unatumia windows xp chagua "boot.ini"kama unatumia later versions chagua kama hivi hapa chini. 4. chagua window ambayo huitaki kisha delete, baada ya hapo apply, na click ok 5. kompyuta...

Download Adobe flash player (offline Installer) BUREEEEEEEEEEEEE!!!!!!!

IWAPO ULIKUA UNAANGALIA VIDEOz NYING KTK PC YAKO KWA KUKWAMAKWAMA (SCRATCHING) BASI BASI TATZO LAKO KWISHA KUANZIA LEO jaman kwa wale wote waliokua na matatzo ya adobe flash player katka computer zao leo tatzo lao limekwisha chukua HAPA bure ka...

Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE

...

Wednesday, June 19, 2013

How to Install any font into any Computer Program

...

Windows phone vs Android

ni kawaida sasa hivi kwenye redio kusikia matangazo ya lumia, samsung galaxies zinazidi kushika kasi, techno wanakomba soko la tanzania na huawei nyingi za tigo zinazidi kusambaa. yote haya yanaweza kukuchanganya na kufanya usifanye uamuzi sahihi wakati wa kuchagua simu. hebu tuangalie windows phone ni nini na android ni nini na baadae utajua ufanyeje kuchagua simu sahihi. windows phone 8 hii ni operating system iliyotengenezwa na microsoft inatumika kwenye simu za nokia, htc, samsung na huawei mpaka sasa. imekuja kumreplace windows phone 7 ambayo haikupokelewa vizuri na wateja. tofauti na android windows phone inatumia tiles...

Pages 341234 »
Twitter Facebook

 
Powered by Blogger