Thursday, June 20, 2013

Jinsi ya kuondoa Window Moja kwenye Pc yenye Windows Mbili

umeinstall window na ukashindwa kuiondoa ile ya zamani na kila ukiwasaha kompyuta inatokea hivi

AU HIVI
twende pamoja ili ujue njia rahisi ya kuiondoa window moja ambayo huiitaji JINSI YA KUIONDOA HIYO AMBAYO HUIITAJI 1. Bofya kitufe cha windows pamoja na R (Win+R) au fungua start menu kisha bofya "Run" 2. itafunguka dialog box ya run, andika neno "msconfig" bila "" kisha bofya ok 3. itafunguka dialog box "system configuration utility" kama unatumia windows xp chagua "boot.ini"kama unatumia later versions chagua kama hivi hapa chini.
4. chagua window ambayo huitaki kisha delete, baada ya hapo apply, na click ok 5. kompyuta itaakuuliza kama unataka kurestart au lah, finally, nenda kwenye folder lilikuwa na windows ya zamani (uliyoifuta)... mfano D:/windows.old (mwenyewe utakuwa unajua lilipo) kisha delete hilo folda. baada ya hapo restart pc yako na itakuwa ina window moja tu Kama umejifunza jambo jipya, au imekusaidia kiaina, bofya SHARE #sayay theComputerGUY

3 comments:

marcosoft technology said...

Aaaaa unibaba

Revo E Kahigi said...

NAKUKUBALI SANA MY FRIEND

Unknown said...

karibu sana

Post a Comment

Twitter Facebook

 
Powered by Blogger